Rais Ajibu Barua ya Mwenyekiti wa FBME

Januari 19, 2016

Rais wa Jamhuri ya Cyprus, Bw Nicos Anastasiades, ametuma jibu fupi kwa barua ya Desemba 27 kutoka kwa Mwenyekiti wa Benki ya FBME, Ayoub-Farid M Saab (ambayo inaweza kupatikana kwenye tovuti hii).

Akiijibu barua hiyo kutoka Mr Saab, Rais amesema kwamba kwa sababu suala lipo chini ya mahakama si yeye wala waziri yeyote anayeweza “… kuingilia kati, kuzungumzia au kushawishi maamuzi na utaratibu unaoendelea”