Monthly Archives: Machi 2015

Bunge la Cyprus Laahirisha Usikilizaji

Februari 20, 2015

Mjadala kwenye Baraza la Wawakilishi – Bunge la Cyprus –kuhusiana na hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Cyprus dhidi ya FBME, ambao ulikuwa umepangwa kusikilizwa Jumanne iliyopita, tarehe 17 Februari, umeahirishwa kwa ombi la Mwanasheria Mkuu wa Cyprus, Costas Clerides. Katika kukubaliana na ombi hilo, wajumbe wa kamati ya Bunge waliopangwa kusikiliza shauri hilo wameweka wazi kwamba litasikilizwa siku za usoni.

Continue reading

Kazi Nzuri Sana – Kama Unaweza Kuipata!

Februari 25, 2015

Kuendelea na mlolongo wa matamko, Msimamizi wa Benki Kuu, Dinos Christofides, ametoa tamko kwa mameneja na wafanyakazi wa FBME tawi la Cyprus kuwakumbusha kwamba muda wa kawaida wa kufanya kazi tawini kwa siku ni 2:30-11:00. Pia aliongeza kuwa mfanyakazi mwandamizi yoyote anyetaka kwenda likizo anatakiwa kupeleka maombi yake kwenye idara ya Wafanyakazi na kubiri kupata kibali cha Mr Christofides .

Continue reading